Thursday, March 14, 2013


SALUM Charles (8) anayesoma darasa la kwanza shule ya Msingi Nyamagana, jijini Mwanza bila kufahamu kuwa anaozungumza nao ni madaktari, (Dk. Koheleth Winani na Dk. Ahmed Makuwani) akieleza kuwa anasoma kwa bidii ili baadaye awe Daktari atakayefundisha watu wasiugue ovyo. Madaktari kwa furaha walimpa Sh 3000 akanunue kalamu na daftari wakimtia moyo aongeze bidii ili atimize ndoto zake.

No comments:

Post a Comment