SALUM Charles (8) anayesoma darasa la kwanza shule ya Msingi
Nyamagana, jijini Mwanza bila kufahamu kuwa anaozungumza nao ni madaktari, (Dk.
Koheleth Winani na Dk. Ahmed Makuwani) akieleza kuwa anasoma kwa bidii ili
baadaye awe Daktari atakayefundisha watu wasiugue ovyo. Madaktari kwa furaha walimpa
Sh 3000 akanunue kalamu na daftari wakimtia moyo aongeze bidii ili atimize
ndoto zake.
No comments:
Post a Comment