Jamaa nusura amchape vibao mmoja wa
waliofunga gari lake kwa madai kwamba limeegeshwa sehemu ya watembea kwa miguu,
nje ya Hoteli ya Mwanza; jijini Mwanza.
Baada ya wanahabari kuingilia kati
, ikabainika ilikuwa ubabaishaji kwani baada ya waliofunga kuhojiwa
kwanini wamefunga gari moja wakati yaliyoegeshwa ni mengi, hakukuwa na majibu ya
msingi; wakalifungua baba wa watu akasepa zake.
No comments:
Post a Comment