Naibu waziri wa afya na ustawi wa jamii, Dk. Rashid Seif akizungumza wakati akifungua mkutano wa wadau wa afya, uliyofanyika Mwanza hoteli wiki iliyopita ambako alikuwa mgeni rasmi; ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya utepe mweupe wa uzazi salama.
No comments:
Post a Comment