Monday, March 18, 2013


Naibu waziri wa afya na ustawi wa jamii, Dk. Rashid Seif akizungumza wakati akifungua mkutano wa wadau wa afya, uliyofanyika Mwanza hoteli wiki iliyopita ambako alikuwa mgeni rasmi; ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya utepe mweupe wa uzazi salama.

No comments:

Post a Comment