Monday, March 18, 2013

Mratibu wa utepe mweupe wa uzazi salama kitaifa na kimataifa, Rose Mlay akizungumza kwenye kutano wa wadau uliyofanyika Mwanza hoteli, Alhamis iliyopita ikiwa sehemu ya maadhimisho ya siku ya uzazi salama duniani ambayo kitaifa yalifanyika jijini humo, Ijumaa iliyopita.

No comments:

Post a Comment