Thursday, March 14, 2013


 
 
 
 
 
 
 
Baadhi ya wajumbe wa Sekretarieti ya Muungano wa Utepe Mweupe Tanzania, waliotokea makao makuu Dar es Salaam; wakiwa ofisini kwa Mganga mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Valentino Bangi (aliyekaa nyuma ya meza yenye mafaili mengi) wakipanga mikakati ya kufanikisha siku ya maadhimisho ya uzazi salama duniani, kitaifa mwaka huu yanaadhimishwa kesho jijini Mwanza.

No comments:

Post a Comment