Baadhi ya wajumbe wa Sekretarieti ya Muungano wa Utepe
Mweupe Tanzania, waliotokea makao makuu Dar es Salaam; wakiwa ofisini kwa
Mganga mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Valentino Bangi (aliyekaa nyuma ya meza yenye mafaili
mengi) wakipanga mikakati ya kufanikisha siku ya maadhimisho ya uzazi salama
duniani, kitaifa mwaka huu yanaadhimishwa kesho jijini Mwanza.
No comments:
Post a Comment