Thursday, April 4, 2013

MPAMBANAJI WA CHADEMA JIMBONI CHALINZE KIZIMBANI BAGAMOYO

Mwenyekiti wa Chadema jimbo la Chalinze, Mathayo Torongei (benchi la pili, wa kwanza aliyevaa sare za chadema) akisubiri kupanda kizimbani katika mahakama ya wilaya ya Bagamoyo, jana, kujibu tuhuma za kumzuia karani wa uchaguzi Mwita Damson kufanya kazi yake, katika uchaguzi mdogo wa viongozi wa kitongoji cha Kinyemvuu, kijiji cha Kidomole jimboni Bagamoyo.
Upelelezi wa kesi hiyo ilielezwa kuwa umekamilika, itakuja tena 02 mwezi ujao, kusikilizwa.

No comments:

Post a Comment