Wednesday, April 17, 2013

MH. LEMA AMNYOOSHEA KIDOLE RAIS KUHUSU UDINI


Leo, Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema (Chadema) amesema bungeni kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, ndiye muasisi wa udini nchini.

Kauli hii iliwahi kurushwa hewani na blog hii kwamba ilitolewa na Kiongozi wa ngazi za juu wa chama cha CUF - taifa (bara) Julius Mtatilo; (rejea taarifa JK, CUF na Udini Tanania).

 Lema alishindwa kuendelea na uchangiaji wake katika eneo la aliloliita genge la usalama wa taifa linalong'oa watu kucha, meno na kuwatoboa macho raia kwa sababu wanazozijua wao.

 

No comments:

Post a Comment