Leo, Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema (Chadema) amesema bungeni kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, ndiye muasisi wa udini nchini.
Kauli hii iliwahi kurushwa hewani na blog hii kwamba ilitolewa na Kiongozi wa ngazi za juu wa chama cha CUF - taifa (bara) Julius Mtatilo; (rejea taarifa JK, CUF na Udini Tanania).
No comments:
Post a Comment