Thursday, February 28, 2013

 
Usiyoyajua kuhusu MSD
Je, unafahamu Bohari kuu ya Dawa Tanzania (MSD) hununua dawa, vifaa tiba na vitendanishi vya maabara  kwa ajili ya vituo vya kutolea huduma ya afya nchini kutoka vyanzo gani?
Pata taarifa kama haufahamu;
Dawa: asilimia 80% huagizwa kutoka nje ya nchi
Vifaa tiba: asilimia 95% huagizwa kutoka nje ya nchi
Vitendanishi: asilimia 100% huagizwa kutoka nje ya nchi

No comments:

Post a Comment