Monday, September 30, 2013

HUMU NDIMO MSAFARA WA RAIS JK ULIMOLALA, MULEBA, MKOANI KAGERA



Miongoni mwa mambo yaliyozua mjada mwaka huu nchini, ni ziara ya Rais Jakaya Kikwete  mkoani Kagera.

Pamoja na mengine, tukio la msafara wake kulala katika nyumba iliyoelezwa kuwa inamilikiwa na waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, badala ya kulala Ikulu ya mji wa Muleba; lilijadiliwa .
 
Sasa nawaletea picha za jengo alimolala Rais na msafara wake, lililopo Muleba. Baadaye nitawaletea picha ya jengo la Ikulu ya Mulega, walimotakiwa kulala.





No comments:

Post a Comment